Apartment nzuri mpya ya kisasa inapangishwa bei ni 250,000/=x 6 apartment hii ina sifa zifuatazo #vyumba 2 vya kulala kimojawapo ni master #sebule kubwa sana
Hiyoni 2bedrooms apartment for rent in Upanga, 1 Master bedroom na 1 public toilet, Balconies, Car park, Back up Generator, Lift, Security24hrs etc $1000 per
Apartment nzuri ya kisasa inapangishwa bei ni 250,000/= x 6 apartment hii ina sifa zifuatazo #vyumba 2 vikubwa sana vya kulala #sebule kubwa sana #jiko lipo
Apartment ina chumba cha kulala, jiko na choo ndani (master yenye jiko), ipo ndani ya fence yenye parking, inajitegemea mita ya maji ila umeme manashare watu 2.
Apartment ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master ila chumba kimoja ni kidogo, sebule, jiko na public toilet ndani. Inajitegemea luku yake yenyewe na nyumba
Apartment hii ni chumba master kikubwa na sebule kubwa nyumba zipo nne kwenye fensi moja ila kila nyumba inajitegemea kila kitu kodi laki moja na nusu x sita
—— #apartment ya #kifamilia inapangishwa #kimara_suka km 1 tokea main road au boda __ vyumba 2 vya kulala, chumba kimoja masta sebule jiko choo na bafu vya
#apartment #mpyaaa #mpyaaa inapangishwa #mbezi_mwisho_chuo_cha_st.joseph km 1 tokea main road au boda 1000 __ vyumba 2 vya kulala, kimoja master sebule jiko
Apartment ina chumba kimoja cha kulala na choo chake mwenyewe ila cha pembeni sio master. Kipo floor ya 4 kutoka chini
Apartment nzuri kubwa ya kisasa inapangishwa itakua wazi kuanzia tarehe 25/09/2023 apartment hii ina sifa zifuatazo #chumba kikubwa kizuri #sebule kubwa #jiko
#For Rent at MBEZI kwa ROBERT via Goba Road ★120K ×6 _______ ____ Chumba master kizuri Jiko Kubwa na Zuri LUKU yako Maji yapo Pia una Reserve Tank lako Ndan
Chumba, sebule na choo cha nnje ila chakwako mwenyewe. Nyumba ipo ndani ya fence na ina parking, umeme watu 3. Unaweza kupitia external au riverside au korogwe
Apartment for rent Location:- Magomeni Mapipa Terms of payment six months Features Three bedrooms One bedroom is self contaoned (Chumba kimoja master) Sitting
#CHUMBA_MASTER JIKO , Inapangishwa price Tsh laki mbili na hamsini (250k pey month payment six months, And one month to agent service survey charge 20k, luku
Apartment ina chumba, sebule ndogo, jiko na choo ndani (master). Ipo floor ya 6 ila kuna lift na inajitegemea luku yake yenyewe pamoja na mita ya maji, pia
Nyumba ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule, dinning, jiko na public toilet ndani. Inajitegemea luku yake yenyewe pamoja na mita ya maji. Haina
Ni apartment nzuri sana ya kupanga . ipo ubungo riva side . umbali wa dk 8 tu kwa miguu kutoka menrod ubungo riva side . sifa zake = vyumba viwili vya kulala
Nyumba nzuri kubwa na ni ya kisasa inapangishwa location: kimara mwisho kodi 100,000x6 ni chumba master sebule na jiko zuri na public toilet ya nnje ina tails
Ni chumba master sebule jiko luku wawili maji yanaflow ndani fensi safi ila hailazi gari ziko kimara baruti dk 4 toka morogoro road bei ni Tshs 250x6
Apartment ina chumba, sebule na choo ndani. Ipo ndani ya fence ambayo haiingizi gari ila ipo mtaa mzuri na usalama wa kutosha na ni dakika 8 kwa miguu kutoka